NA DOTTO KWILASA, DODOMA. Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka yake ya hifadhi TANAPA imeshauriwa kuweka alama kwenye maeneo yote ya hifadhi za kihistoria katika Mkoa wa Dodoma ili kuunga mkono juhudi za RAIS Dkt SAMIA SULUH HASSAN za kutangaza vivutio vya utalii na kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo. Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed